Kuishi Kikristo kwa vitendo

View this course in other languages:

Maelezo ya kozi

Kozi hii hutumia kanuni za kiroho kwa utumiaji wa fedha, mahusiano, mazingira, mahusiano na serikali, haki za binadamu, na maeneo mengine ya kuishi kwa vitendo.

Malengo ya kozi

Malengo yameorodheshwa kwenye kila somo.

Mada za somo

Uadilifu wa Mkristo
Mazoezi ya Utii kwa Mungu
Kazi
Mahusiano
Kuongozwa na Mungu
Mtazamo wa Biblia kuhusu Ndoa
Utakatifu wa Ndoa
Ikolojia ya Mkristo
Fedha
Uaminifu
Thamani ya Binadamu
Serikali
Mwili wa Mkristo